Sunday, September 14, 2014

PAMOJA NA KUAMIA AZAM ASHUHUDIA IKIPIGWA 3 NA TIMU YAKE YA ZAMANI YANGA.

Shabiki aliejipatia umaarufu mkubwa baada ya kuwa anaipenda Yanga kupitiliza hadi kupelekea mara kwa mara kutoa machozi pale ambapo anaona Yanga imeonewa au imefungwa sasa shabiki huyo anaejulikana kama Steve katika mchezo wa ngao ya jamii kati ya Azam na Yanga ameonekana akiwa amevalia jezi ya Azam akiishangilia kwa nguvu zake zote huku akishuhudia ikipewa kipigo cha paka mwizi cha mabao 3-0 katika mchezo huo.Picha hapo chini wakati akiwa shabiki wa Yanga.

Hapa akimpokea Okwi wakati alipowasili baada ya kusajiliwa Yanga.



Sunday, June 15, 2014

Word Cup:Balotelli apeleka kilio wingereza ,Ivory Coast nayo yachanua

Michuano ya Kombe la Dunia inaendelea uko Brazil katika michezo iliopigwa jana na kuamkia alfajili ya leo Jumapili kwa masaa ya Afrika mashariki Matokeo ni kama ifuatavyo.

ITALY 2 ENGLAND 1

IVORY COAST 2 JAPAN 1



Friday, June 13, 2014

HII SI BRAZIL BALI NI USAILI WA UHAMIAJI UWANJA WA TAIFA DAR ES SALAAM.

Kwa haraka haraka unaweza kusema kuna Mpira unaendelea Uwanja wa Taifa Jijini Dar es Salaam hivi sasa kumbe sio mpira bali ni katika harakati za kutafuta ajira na leo ndo siku ya Usaili kwa wale walioomba Uhamiaji hapa ndipo utajua kweli WATU KUTOPATA AJIRA NI JANGA LA KITAIFA SERIKALI INABIDI KULITAFUTIA UFUMBUZI WA HARAKA NA MAPEMA SANA.

Wakisubili kuitwa katika usahili huo.
Wakiingia ndani ya uwanja tayari kusubili usaili.

UFUNGUZI KOMBE LA DUNIA ULIVYOKUWA (PICHA)


Friday, May 23, 2014

BAADA YA KUDAIWA KUFANYA FUJO BAR HIVI NDIVYO MAGAZETI YALIVYOMUANDIKA MOYES.

Baada ya kudaiwa kumshambulia mtu Bar na Polisi kulipotiwa kuanza kuchuguza tukio hilo linalodaiwa kufanywa na  Kocha wa zamani wa Machester United David Moyes hivi ndivyo magazeti ya wingereza yalivyoandika khusu tukio hilo.

Monday, May 19, 2014

Hatimaye Machester United yatangaza Rasmi Kocha wake kwa msimu ujao.

Louis Van Gaal ndio Kocha Mpya wa Klabu ya Machester United anachukuwa nafasi iliokuwa wazi baada ya kutimuliwa kwa Kocha David Moyes. Klabu ya Machester kwenye taarifa yake imesema kocha huyo mpya atasaidiwa na Ryan Giggs kama kocha msaidizi.

Louis Van Gaal muholazi aliefundisha klabu mbalimbali kama  Ajax Amsterdam mwaka 1995,akiwa na klabu iyo aliweza kushinda kombe la Mabigwa Ulaya,Mwaka 1998 na 1999 alishinda la liga ligi ya Hispania akiwa na klabu ya Barcelona na Badae akiwa na klabu ya Bayern Munich nae aliweza kutwaa taji mwaka 2010.