Tuesday, April 9, 2013

LIVE PICTURE KUTOKA KENYA KUAPISHWA KWA UHURU KENYATTA NOW!!!

KAZI YA KUWAONGOZA WAKENYA SASA RASMI KUIANZA.
HUYU SASA NDIE RAIS KENYA KUTOKA DAKIKA HII.
Chief Justice Willy Mutunga's arrival at the MISC, Kasarani
The crowds at kasarani.
People continue trickling in at kasarani stadium.
Crowds of people run.
KWA WALE WA FECEBOOK KAZI KWENU MTAFUTE LIKE AU COMMENT .
WAKIJIANDAA KWA HATUA ZA MWISHO MWISHO VIKOSI VYA ULINZI.
WANANCHI NAO WAKIJONGEA UWANJANI.
UKINZI KILA KONA UMEIMALISHWA.
WAKO TAYARI KUAKIKISHA USALAMA UPO.
Hii ni nyumba iliojengwa na Serikali ya Kenya kwa ajili ya kumzawadia Rais Kibaki anaestaafu.
One of the freedom fighters arrives for theinaugration.
Laying out the red carpet at the VIP
rais wa Tanzania nae aliwasili kwa ajili ya sherehe hizo.

Hii ndo hari ilivyo sasa katika nchi ya jilani kenya ambayo leo ndo siku ya kumuapisha rais Uhuru Kenyatta tutaendelea kuwaletea picha hapa hapa na matukio mengine na mambo yakienda vizuri unaweza kutazama hapa hapa kupitia kituo cha tv K 24 LIVE.
MITAMBO IKIWEKWA VIZURI ILI MDAU WA BLOG HII UPATE MATANGAZO YA MOJA KWA MOJA KUPITIA K24 TV. SHUKULANI KWAKO WEWE ULIOKO KENYA UANAENITUMIA PICHA HIZI KUPITIA bpromas@outlook.com na vile vile K24 TV NAWE KAMA UKO KENYA HAPO HULIPO UNAONA KUNA PICHA INABIDI USHARE NA JAMAA ZAKO WA AFRIKA MASHARIKI KATIKA TUKIO HILI LA KIHISTORIA TUTUMIE PIA.

No comments:

Post a Comment