Saturday, June 15, 2013

KWA WANAO SINZIA KWENYE MABASI MAPOZI YA USINGIZI KWENYE BASI HAYA HAPA.

Hivi wewe ukiwa unasafili kwenda mbali unalala mapozi gani kwenye Gari chukua mda wako kutazama haya hapa....

Akiamka hapa pua lazima akaikande na maji.
No comment ila kuna maswali ya kujiuliza hapa ni......!!!
Kwetu maeneo ya wale vijana wa kazi ukiamka simu huna,
Kati ya pozi nililoipa nafasi ni hili ha!ha!kama ni namba huyu mshindi wa Pili endelea kutazama mshindi namba moja utamuona tu.
Huyu nae sijui tilalila ama usingizi kazi kweli kweli.
Hii inaitwa Chunga mzigo wako.
Hii meseji nafikili nayo ilipata usingizi wakati ikiwa hewani.
Hapa ni kusema hili ni namba moja.
Sijalala ila naona.
Du!!kiuno chake tu kitamuhumaje.
Kaa tayari kuziba pua hapa namba tatu hiyo.

No comments:

Post a Comment