Wednesday, June 19, 2013

SAIDA KAROLI "SIJAFA NA NIKO MZIMA KABISA"

Baada ya taarifa kuzushwa kuwa Saida Karoli amefariki katika ajali ya meli habari za uhakika ni kuwa Saida Karoli wala hayuko mahala popote jirani na Ziwa Victoria. 

Baada ya kuweko Dar es Salaam wiki iliyopita, Saida na kundi lake walikodishwa na kuelekea Makongorosi Chunya mahala aliko mpaka asubuhi hii. Saida Karoli anasema hana mpango wowote wa kufa KARIBUNI. 

MUNGU AMUONGEZEE SIKU NYINGI ZENYE FARAJA KATIKA MAISHA YAKE


No comments:

Post a Comment