Tuesday, May 7, 2013

BALOZI WA VATICAN AKIWA KWENYE ULINZI MKALI AIR PORT.

Mwakilishi wa Papa akiwa na Askofu Lebulu akitoka kwenye VIP ya Arusha Airport kuelekea kwenye ndege.

Hapa akisaidiwa na wafanyakazi  kukamilisha dokomenti zake za Usafiri, huku ulinzi ukiwa tight!
Kwaheri Mtumishi wa Mungu, tunaomba uje tena tutakapoamua kuzindua upya Parokia Yetu ya Yosefu Mfanyakazi- Olasiti Arusha.
Safari njema usiongope kurudi Arusha tena.
Akiagana na waliomsidikiza.
Akiingia ndani ya ndege tayari kwa kuondoka.
Baada ya mlipuko uliotokea wakati akiendesha ibada  atimaye Balozi wa vatican nchini ameondoka jijini Arusha na kulejea Dar es salaam kwa ajili ya majukumu mengine ya kikazi wakati akiondoka katika Uwaja wa ndege wa Arusha Balozi huyo alikuwa akiongozwa na watu wa usalama kwa umakini mkubwa.

No comments:

Post a Comment