Monday, March 25, 2013

HUKUMU YA MSANII KAJALA YATOLEWA SASA YUKO HURU 100%

Msanii kajala akilia kwa furaha baada ya mahakama ya kisutu kumuachia huru baada ya kutimiza mashariti yaliokuwa katika huku kama angeshindwa kutimiza mashariti basi ageenda jela miaka 8 lakini kwa msaada mkubwa wa msanii mwezake Wema sepetu aliweza kulipa milion 13 hapo kama faini na kufanikisha kajala kuwa huru Tunakupongeza Wema sepetu kwa moyo huo uliouonyesha .


. HUKUMU ya kesi iliyokuwa
inamkabili staa wa filamu za
Kibongo, Kajala Masanja na
mumewe imetolewa leo na
Hakimu Sundi Fimbo katika
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar.


Katika hukumu hiyo Kajala
amehukumiwa kwenda jela
miaka mitano au kulipa faini
ya shilingi milioni 13 na
mumewe kwenda jela miaka
saba au kulipa faini ya shilingi milioni 200.

Kajala alikuwa anakabiliwa na
kesi ya kuuza nyumba
iliyowekwa kizuizini na Taasisi
ya Kuzuia na Kupambana na
Rushwa (Takukuru) baada ya
mumewe, Faraji Agustino kukumbwa na msala wa
kutakatisha fedha haramu.

No comments:

Post a Comment