Thursday, March 27, 2014

RAIS BARACK OBAMA KWA MARA YA KWANZA AKUTANA NA POPE.

Hatimaye kwa mara ya kwanza Rais wa Marekani Barack Obama amekutana na Baba mtakatifu Pope Francis mjini Vatican katika ziara hiyo ya Obama inategemewa mambo yatakayo zungumzwa pamoja na kiongozi huyo wa kiroho wa Madhehebu ya kikatoliki Duniani yenye waumini wengi Duniani ni pamoja na swala la swala la Ushoga na Umasikini.

 


No comments:

Post a Comment