Sunday, June 15, 2014

Word Cup:Balotelli apeleka kilio wingereza ,Ivory Coast nayo yachanua

Michuano ya Kombe la Dunia inaendelea uko Brazil katika michezo iliopigwa jana na kuamkia alfajili ya leo Jumapili kwa masaa ya Afrika mashariki Matokeo ni kama ifuatavyo.

ITALY 2 ENGLAND 1

IVORY COAST 2 JAPAN 1



1 comment: