Friday, June 13, 2014

HII SI BRAZIL BALI NI USAILI WA UHAMIAJI UWANJA WA TAIFA DAR ES SALAAM.

Kwa haraka haraka unaweza kusema kuna Mpira unaendelea Uwanja wa Taifa Jijini Dar es Salaam hivi sasa kumbe sio mpira bali ni katika harakati za kutafuta ajira na leo ndo siku ya Usaili kwa wale walioomba Uhamiaji hapa ndipo utajua kweli WATU KUTOPATA AJIRA NI JANGA LA KITAIFA SERIKALI INABIDI KULITAFUTIA UFUMBUZI WA HARAKA NA MAPEMA SANA.

Wakisubili kuitwa katika usahili huo.
Wakiingia ndani ya uwanja tayari kusubili usaili.

No comments:

Post a Comment