Sunday, September 14, 2014

PAMOJA NA KUAMIA AZAM ASHUHUDIA IKIPIGWA 3 NA TIMU YAKE YA ZAMANI YANGA.

Shabiki aliejipatia umaarufu mkubwa baada ya kuwa anaipenda Yanga kupitiliza hadi kupelekea mara kwa mara kutoa machozi pale ambapo anaona Yanga imeonewa au imefungwa sasa shabiki huyo anaejulikana kama Steve katika mchezo wa ngao ya jamii kati ya Azam na Yanga ameonekana akiwa amevalia jezi ya Azam akiishangilia kwa nguvu zake zote huku akishuhudia ikipewa kipigo cha paka mwizi cha mabao 3-0 katika mchezo huo.Picha hapo chini wakati akiwa shabiki wa Yanga.

Hapa akimpokea Okwi wakati alipowasili baada ya kusajiliwa Yanga.



No comments:

Post a Comment