Wednesday, September 18, 2013

BAADA YA FUJO BUNGE LA TANZANIA,NIGERIA WABUNGE NAKO WATWANGANA NGUMI..

Wabunge wa bunge la waakilishi Nigeria wamerushiana ngumi wakati wa vikao vya Jumanne baada ya kuzuka bungeni suitofahamu kuhusu mrengo wa wabunge waliojitenga na chama tawala. Taarifa hizi ni kwa mujibu wa vyombo vya habari nchini humo.

Kituo kimoja cha kibinafsi cha televisheni, pamoja na vituo vingine vilionyesha picha za mbunge mwanamke akimtosa kidole usoni kwa ghadhabu mbunge mwenzake wakati mbunge mwanamume akionekana akichukua kiti nusura kumgonga mwenzake.

Wabunge wengine walionekana wakipigana ngumi.

Mgogoro inasemekana ulianza baada ya mwenyekiti wa mrengo wa wabunge waliojiondoa kutoka kwa chama tawala, Kawu Baraje, kuingia bungeni akiandamana na magavana wanaomuunga mkono.

Inaarifiwa spika wa bunge la waakilishi ,Aminu Tambuwal, aliambia wabunge kuwa Baraje aliomba ruhusa kuwahutubia wabunge wa mrengo wake kabla ya bunge kuanza vikao vyake.

Lakini kuwepo kwa wabunge hao bungeni kuliwaghabisha mno wafuasi wa chama tawala, PDP,kiasi cha kuzuka sokomoko bungeni kati ya pande hizo mbili na kumlazimisha bwana Baraje kukatiza hotuba yake kutokana na kelele bungeni.

Chama tawala PDP kina wabunge wengi zaidi bungeni wakiwa 23 kati ya wabunge wote 36

Aidha chama hicho kimetawala Nigeria tangu kupata uhuru mwaka 1999 lakini hivi kribuni kimezongwa na migogoro ya ndani ya chama pamoja na kukabiliwa na upizani wenye ushawishi.

Wananchi wanajiandaa kwa uchaguzi mwaka 2015, lakini wadadisi wana wasiwai ikiwa chama tawala kitakuwa kimesuluhisha migogoro yake, huku kikikabiliwa na upinzani mkali.

Mgogoro huu umekuwa ukitokota kwa miezi kadhaa huku baadhi ya wabunge wakitofautiana kuhusu ikiwa Rais Goodluck Jonathan aidhinishwe na chama kugombea urais kwa mara nyingine wakati kuna wanasiasa wengine wanaotaka kugombea urais.

Hii ni mara ya kwanza kwa wabunge wa Nigeria kurushiana ngumi bungeni.

                                             ****************************
Mtandao mmoja wa nchi hiyo uliandika hivi
The meeting by the leadership of the faction with lawmakers triggered a fight by lawmakers 
A meeting between the seven governors of the new Peoples Democratic Party faction, and members of the House of Representatives has ended after fighting broke out.
The governors, alongside the chairman of the faction, Abubakar Baraje, met first with senate president, David Mark.
A follow up meeting at the House of Representatives with Speaker Aminu Tambuwal, and members of the House, degenerated into chaos with supporters of the Bamanga Tukur-led PDP jeering at remarks made by Mr Baraje.
The chaos soon escalated after two members, Dagogo Peterside and Henry Ofongo, from Rivers and Bayelsa states respectively, went up against each other.
Mr. Baraje told Mr. Mark that President Goodluck Jonathan must give up his ambition for a new term.
More details  later ….
———————–
Find our earlier post below.
The seven governors of the Abubakar Baraje faction of the Peoples Democratic Party are currently meeting behind closed doors with President of the Senate, David Mark.
There is also a separate meeting between chairman Baraje himself and his supporters at the House of Representatives. Speaker Aminu Tambuwal is expected to lead the leadership of the House to the meeting.
The leadership of the faction and its seven governors last night held a strategy meeting where they reviewed the outcome of Sunday’s meeting between the ‘rebel’ governors and the president.
The meeting, our source said, also considered strategies for strengthening the faction in the light of last week’s pronouncement by Justice Elvis Chukwu of an Abuja High Court regarding the status of the faction.
The faction, we further learnt, also discussed the closure of its national and states secretariats by the police.
Also discussed was last week’s resignation of the National Treasurer of the faction, Tanko Gwamna, who subsequently pledged his allegiance to the BamangaTukur-led faction of the party.
The faction’s topshots, we learnt, also worked out modalities for identifying moles within its rank, our source said.
Premium Times, Nigeria.

No comments:

Post a Comment