Saturday, July 20, 2013

MSANII KANYE WEST ATOA KIPIGO KWA MUANDISHI WA BLOG TAZAMA PICHA NA VIDEO.

Habari zaidi zinasema tayari polisi wa Los Angels tayari wamepeleka mashitaka kwa ofisi ya mwanasheria tayari kwa kumfungulia kesi ya kufanya fujo na kumvamia mtu na papalazi huyo ni mmoja kati ya wamiliki wa Blog ambayo iliwai kulipoti vibaya habari kuhusu kanye West.

Kanye West akimkuja tayari kumshushia kipigo.
Uku na uku wengine wakichukua Picha za tukio zima pamoja na video.
Ilikuwa shike nikushike.
Kama unavyojionea mwenyewe.

Kanye was on his way out of the airport when he went ballistic, attacking a member of the paparazzi at LAX...and TMZ caught it on tape...see the video after the cut...

No comments:

Post a Comment