Saturday, April 12, 2014

ARSENAL HATIMAYE WATINGA FAINALI YA KOMBE LA FA.

Hatimaye Timu ya Arsenal sasa imejiweka katika mazingila mzauri ya kuibuka na kikombe msimu huu baada ya kutiga Fainali ya chama cha mpira cha wingereza maarufu kama Kombe la FA baada ya kuifunga timu ya wigani kwa Penati 4 kwa 2 za Wigan baada ya kumaliza mchezo huo kwa kufungana magoli 1 kwa 1

  Kipa wa Arsenal akiokoa moja ya Penati



No comments:

Post a Comment