Sunday, April 13, 2014

MANNY PACQUIAO AMSHIDA TIM BRADLEY

Pambano la ngumi kati ya Manny Pacquiao na Tim Bradley limemalizika mda mfupi uliopita kwa Manny kushinda kwa point kama ambavyo Bradley alivyoshinda kwenye pambano la kwanza kati yao ingawaje baadhi ya watu hawajalidhika na ushidi huo na kusema ni kama alioupata Tim katika pambano la kwanza wa utata utata.

 


No comments:

Post a Comment