Sunday, April 13, 2014

Habari za hivi punde:Elkopta ya Polisi imeaguka Dar es salaam.

Habari za awali zinasema kwamba kulikuwa na baadhi ya viongozi waliokuwa katika ziara ya kukagua athali za mafuriko jijini Dar es salaam

Habari zinazoendelea kupatikana ni kwamba ilikuwa na Kamanda wa Polisi wa kanda maalum pamoja na Mkuu wa mkoa lakini wanaendelea vizuri habari zaidi zinafuata......... 

 Habari zaidi zinasema pia kulikuwa na makamu wa rais katika msafara huo



No comments:

Post a Comment