Sunday, April 13, 2014

GWIJI WA MZIKI WA DANSI MUHIDIN GURUMO ATUNAE TENA KATIKA DUNIA HII.

Mwanamziki na Gwiji wa mzuziki wa dansi nchini Tanzania mzee Muhidin malimu Gurumo alikuwa kiongozi wa Bendi ya Msondo ngoma  amefariki majila ya mchana katika Hospitali moja alipokuwa akipatiwa matibabu.


No comments:

Post a Comment