Sunday, April 13, 2014

LIVEPOOL 3 MANCITY 2 .

Mpira umemalizika kati ya Liverpool na Manchester City na liverpool kuibuka na ushidi wa Mabao 3 kwa 2.Liverpool walikuwa mbele kwa mabao 2 mpaka kipindi cha kwanza kinamalizika kwa magoli ya Halftime na Skirtel dakika ya 26.Kipindi cha pili kilianza kwa kasi sana na kupelekea Man City kurudisha magoli hayo yaliofungwa na Silva dakika ya 56 pamoja na Johnson aliejifunga kwenye Dakika ya 63 Goli la ushidi la liverpool limefungwa na beki wa Machester city na naodha wa Timu hiyo Vicent kwa matokeo hayo Liverpool imezidi kujikita kileleni mwa msimamo wa ligi kuu wingereza kwa point 77


No comments:

Post a Comment